• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

BL 12.4 ZATOLEWA KWA KAYA MASKINI TUNDURU

Imewekwa : February 26th, 2020


Tunduru                                 26/02/2020

Hayo yamesemwa na mratibu wa mradi wa kunusuru kaya maskini wilayani Tunduru wakati wa malipo ya kipindi cha mwezi Machi na April 2019 yanayofanyika baada ya uzinduzi wa utekelezaji wa mpango wa kunusuru Kaya maskini (TASAF III) awamu ya pili.

Mratibu wa mfuko wa maendeleo ya jamii wilaya ya Tunduru(Tasaf) Muhidin Shaibu amesema, jumla ya Bilioni 12.4 zimetumika kwa ajili ya malipo kwa walengwa 13,751 wanaonufaika na mpango wa kunusuru kaya maskini katika wilaya ya Tunduru  kwa kipindi cha miaka 7 tangu mwaka 2014 hadi kufikia sasa.


Ndg. Muhidin Shaibu alisema,mpango wa kunusuru kaya maskini kwa wilaya ya Tunduru ulianza tangu mwaka 2014 na hadi sasa tayari wameshafanya malipo kwa kipindi cha awamu 32 katika vijiji 88 kati ya 157 vinavyotekeleza mpango huo katika awamu ya kwanza.

Aliendelea kusema shughuli zinazofanywa na walengwa wa kaya maskini ni pamoja na ajira za muda ambapo jumla ya ajira 424 zimeweza kutolewa, ikiwa ni pamoja na uanzishaji wa vikundi vya wajasiriamali na kazi nyingine za utunzaji wa mazingira, ufugaji wa nyuki, utengenezaji wa mbolea vunde, upandaji wa miti ya matunda, kuchimba visima vya asili na malambo ya kutunza maji, na uchimbaji wa mabwawa ya ufugaji wa samaki.

 Alisema   kaya 5,111 zimeweza kuanzisha biashara ndogo ndogo kwa lengo la kujiongezea kipato,kaya 7,670 zimejihusisha na kilimo na ufugaji wa mbuzi,kuku,bata na ng’ombe wakati kaya 5,600 zimefanikiwa kuboresha makazi kwa kujenga nyumba za kisasa.

Hata hivyo mbali na mafanikio hayo baadhi ya walengwa wameweza  kuanzisha vikundi 913 vya akiba na mikopo, miradi ya uchimbaji mabwawa ya samaki ambayo imewasaidia kupata ujuzi wa kufuga samaki na kuwa wasambazaji wakubwa wa mbegu za samaki  na kitoweo cha samaki ndani na nje ya wilaya ya Tunduru.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.