• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

BILIONI 1.55 kurejesha daraja la Muhuwesi.

Imewekwa : November 12th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Laban Thomas ametembelea na kukagua  ukarabati wa Daraja lililopo Muhuwesi  Novemba 12,2023.

Ukarabati huo Mdogo umekuja baada ya daraja hilo kupata hitilafu ya kusogezwa na maji, hali iliyosababisha kutumika kwa upande mmoja wa njia katika daraja hilo,ambapo kwa sasa daraja hilo limesukumwa na kurudi katika hali yake ya hapo awali na kufanya uwezekano wa kutumika kwa njia zote mbili za  daraja hilo.

Mkuu wa Mkoa ameipongeza kampuni ya ukandarasi ya Mtivila Traders and Construction  ikishirikiana na TANROADS kuweza kukamilisha ukarabati wake na kulirudisha kama awali, ambapo amesema zaidi ya Bilioni 1.5 zimetumika katika ukarabati wa daraja hilo, aidha amewataka wananchi kutofanya shughuli za kibinadamu karibu na vyanzo vya Mito ili kulinda miundombinu ya madaraja .

“ Tumekagua na tumejiridhisha  daraja  limerudi sehemu yake, ni  Wajibu wetu kama wananchi ni kutunza miundombinu ya haya madaraja pamoja na barabara zetu”

Mwenyekkiti wa kamati ya siasa Mkoa wa Ruvuma Mhe.Odo k. Mwisho ameishukuru na kuipongeza  serikali ya awamu ya sita chini ya Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan kwa kuleta fedha  za kukarabati daraja hilo, amesema daraja hilo ni kiunganishi  muhimu sana baina ya  Mkoa wa Ruvuma na mikoa ya jirani ikiwemo Mtwara na lindi, ambapo linawezesha kushirikiana katika  biashara baina ya mikoa hiyo.

Akiishukuru serikali ya awamu ya sita Meneja mkuu wa TANROADS Mkoa wa Ruvuma,  Mhandisi, Mlima felix Ngaile ameishukuru serikali na kuahidi kuendelea kulinda miundimbinu hiyo  kwa kushirikiana na serikali ya Mkoa ,aidha kwa niaba ya Kampuni ya ukandarasi  ya Mtivila Traders and Construction ,Mhandisi Nyoni ameishukuru serikali ya awamu ya sita ya  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt, Samia Suluhu Hassan kwa kuwaamini wakandarasi wazawa kufanya kazi hiyo , na kuwaomba  wakandarasi wazawa kujiamini katika kufanya kazi hizo.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.