• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

AFISA Kilimo na Mifugo ahamasisha wakulima kujiandikisha Pembejeo Za Kilimo

Imewekwa : January 8th, 2024

Afisa Kilimo na Mifugo wa Wilaya ya Tunduru,Ndg, Morton Msowoya amehamasisha wakulima wa wilaya hiyo kujiandikisha kwaajili ya kupata pembejeo za kilimo katika kuajiandaa na kilimo katika msimu huu.

Akizungumza na wakulima katika kijiji cha Ligunga,wakati wa mnada wa nane wa Korosho, ndg Msowoya alisema kuwa serikali inaendelea kutoa pembejeo za kilimo kwa wakulima kwa ajili ya kuwawezesha kuzalisha mazao  kwa wingi na kupata mavuno bora.

"Ninawasihi wakulima wote kujitokeza Kwa wingi kujiandikisha na kuhuisha taaarifa zenu kwaajili ya kupata pembejeo za kilimo," alisema Msowoya. "Pembejeo hizi Ni muhimu Kwa ajili ya kilimo chenye tija."

Kwa upande wake, Afisa Ushirika Wilaya ya Tunduru, Ndugu George Bisani, amesisitiza vyama vya ushirika vya msingi kulipa wakulima Kwa haraka ili hizi fedha ziweze kubadili maisha yao na kuyaendesha Kwa usahihi.

Ndg.Bisani Bisani, alisema kuwa zaidi ya bilioni 45 ziliingia kwenye mzunguko kupitia zao la korosho katika mikoa mitatu ambayo chama kikuu cha ushirika Tunduru TAMCU LTD kinahudumia.

"Ni muhimu kwa vyama vya ushirika vya msingi kulipa wakulima kwa haraka ili fedha hizi ziweze kusaidia wakulima katika shughuli zao za maendeleo," alisema ndg.Bisani.

pichani: Afisa Ushirika Wilaya ya Tunduru, Ndugu George Bisani

Aidha Afisa Ushirika Wilaya ya Tunduru amevipongeza vyama vya Msingi vya Ushirika Kwa utendaji kazi wa ukusanyaji wa mazao hasa katika msimu huu wa zao la korosho.

Katika msimu huu wa zao la korosho, jumla ya minada nane imefanyika, ambapo zaidi ya  tani 26,000 zilikusanywa na kufanya zaidi ya Bilioni 45 kuingia katika mzunguko katika mauzo ya zao hilo la korosho.

Imeandaliwa na Orpa Kijanda, Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.