• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MIRADI ILIYOTEKELEZWA KWA BAJETI YA MWAKA 2022/2023

Start Date: 2022-07-01
End Date: 2023-06-30

MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA BAJETI YA MWAKA 2022/23

1          SEKTA YA ELIMU MSINGI

Elimu Msingi bila malipo inaendelea kutolewa kwa wanafunzi, Walimu na Walimu Wakuu wamelipwa stahiki zao. Mpango wa Boost umeendelea kutekelezwa baada ya wataalam kupata mafunzo ya namna ya kusimamia mradi huu. Mradi unatekelezwa kwenye shule Saba (7) badala ya 26 zilizopitishwa kwenye Bajeti kutokana na hitaji la serikali la kuhakikisha changamoto za miundombinu ya elimu zinamalizwa kwenye shule zote kwa awamu. Shilingi 1,224,600,000.00 zimepokelewa kwa ajili ya ujenzi wa madarasa ya kawaida 38, madarasa ya awali ya mfano 6 na vyoo matundu 61.ujenzi wake umefikia hatua ya umaliziaji. Halmashauri imesimamia ujenzi wa madarasa 2 S/M Nandembo pamoja na ya ujenzi ya darasa moja klasta ya Nampungu.  Aidha fedha za kukamilisha maboma zimepokelewa shilingi 599,250,000.00 mwishoni mwa mwezi sita na zipo mashuleni kwenye miradi na zitatekeleza miradi kuanzia Julai 2023

2          SEKTA YA ELIMU SEKONDARI

Elimu Msingi bila malipo inaendelea kutolewa kwa wanafunzi, Walimu na wakuu wa Shule

Utekelezaji wa miradi ya Ujenzi wa hostel 2, madarasa 14, Mabweni 7 unaendelea kwenye hatua za kuezeka kwenye sekondari za Masonya na Tunduru kwa ajili ya kuwapokea wanafunzi wa kidato cha tano mwaka huu 2023, ifikspo tarehe 10/08/2023. Aidha, Ujenzi wa shule mbili mpya za Tinginya na Tuwemacho maandalizi yanaendelea. 

3          SEKTA YA MAENDELEO YA JAMII

Utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kupitia TASAF unaendelea kufanyika ambapo malipo ya ruzuku na kazi yametolewa ambapo jumla ya shilingi 3,517,510,899.00 zilipokelewa na kutumika na ruzuku wa wanufaika, ununuzi wa vifaa vya kazi. Aidha, utekelezaji wa miradi ya PWP upo kwenye hatua ya kuibua miradi mipya na kukamilisha miradi ya mwaka 2022/23 ambapo wanufaika wanashiriki kazi mbalimbali zikiwemo ujenzi wa barabara, kazi za kilimo cha mashamba zinafanyika na wanalipwa kwa siku walizofanya kazi.

Mikopo laini kwa vikundi yamefanyika kwa vikundi  ambapo shilingi 281,168,181.75 zimekopeshwa kwa vikundi viiwemo vya walemavu 7 vilivyokopeshwa shilingi 57,233,636.35, wanawake 15 vilivyokopeshwa shilingi 112,467,272.70 na vijana vikundi 13 vilivyokopeshwa shilingi 114,467,272.70 kufikia Juni 2023. Mikakati ya kukusanya madeni inaetekelezwa kwa kuvifuatilia vikundi vyote vilivyokopa kwa ushirikiano na Polisi kwa vikundi vnavyoonyesha kutoshirikiana

Idara hii inaendelea kushiriki kwenye shughuli mbalimbali za kuhamasisha shughuli za maendeleo kwenye vijiji mbalimbali vya Tunduru

4          SEKTA YA UTAWALA

Mafunzo ya Waheshimiwa Madiwani 54 wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru wameshiriki mafunzo kwa vitendo katika ziara ya mafunzo iliyofanyika Agosti 2022 huko Mbeya kwa kujifunza ukusanyaji wa mapato ya ndani katika H/W ya Mbalali, Njombe pamoja na kujifunza kwa kukagua mabanda ya maonyesho kweye Maonyesho ya nanenane.

Ukarabati wa jengo la Halmashauri umefanyika kwa kupaka rangi nje ya jengo pamoja na kurekebisha mfumo wa Vyoo wa Jengo hili.

5          SEKTA YA AFYA

Ujenzi wa jengo la Hospitali ya wilaya unaendelea kwa kukarabati jengo la upasuaji na kujenga jengo la wagonjwa wa nje (OPD) na maabara. Ujenzi wa Kituo cha Afya cha Nakayaya, Masonya, Mchesi, Nalasi na Nampungu umeendelea kutekelezwa katika hatua tofauti za ujenzi na ukamilishaji. Aidha, Zahanati za Mwongozo, Angalia, Namasalau, Likweso, Malombe, Naluwale, Darajambili na Chiungo umeendelea katika hatua za umaliziaji. Kituo cha Afya cha Nalasi na Masonya vimepelekwa vifaa vya awali ili vianze kutoa huduma baada ya kuingiza umeme kutokana na hitaji kubwa la kufunguliwa vituo hivi.

Utekelezaji wa shughuli za Lishe Wilayani umefanyika kwa kuendesha vikao vya Kamati ya Lishe katika ngazi ya Wilaya, Mkoa na Taifa.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.