• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Departiment
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maliasili na Utalii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utumishi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Information, Technology, Communication and Public Relation
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
    • Kilimo
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
      • Kata ya Mbati
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Kupata Kibali cha Ujenzi

kibali cha Ujenzi .

Ili  kupata kibali cha ujenzi katika halmashauri ya wilaya ya Tunduru mwananchi unatakiwa kuwa na vitu/ nyaraka zifuatazo;-

1.Hakikisha kuwa una kiwanja kilichopimwa

2. Andaa michoro ya ujenzi kwa kuwatumia wataalam wanaokubalika kisheria ambao ni wasanifu majenzi, wahandisi au wakadiriaji majenzi.

3.Hakikisha michoro ya ujenzi imehakiiwa na wataalamu (Halmashauri husika)

katika halmashauri ya Tunduru  kuna wataalamu mbalimbali wanaohakiki na kuhakikisha unapata kibali cha ujenzi kama ifuatavyo;-

       a. Afisa Ardhi kuhakiki mmiliki halali wa  kiwanja na kama kiwanja kinachoombewa kibali kipo.

         b.Afisa mipango Miji ambaye atahakikisha kuwa matumizi bora ya ardhi yanafuatwa, mfano kama kiwanja ni cha makazi pekee, makazi na biashara, viwanda, eneo la wazi, huduma za jamii.

         c Afisa Mazingira kuhakikisha kuwa mchoro unazingatia athari za kimazingira.

           d.Afisa Afya- kuhakikisha kuwa michoro imezingatia afya za watumiaji.

          e. Mhandisi ujenzi (Strucutre Engneer) -kuhakikisha kuwa mchoro umezingatia uimara wa majengo/ jengo, kufanya uhakiki zaidi kwenye michoro ya kihandisi (structuredrawings). mfano ukubwa na aina za nondo, kina cha msingi kulingana na eneo husika. -changamoto kubwa ambazo zinaweza kutoka kwenye majengo marefu (maghorofa).

          f. Msanifu majengo (Archtecture) - kuhakikisha kuwa michoro inayokusudiwa kujengwa imekidhi viwango vya kitaalam (specifications). mfano kuhakikisha kuwa michoro inayowasilishwa imekamilika na kukidhi viwango.

          g. Mkadiriaji majenzi (quantity surveyor) -kutoa ushauri kuhusiana na gharama ya jengo linalokusudiwa kujengwa.

Baada ya michoro hiyo kuhakikiwa na wataalam wa mamlaka ya halmashauri ya Tunduru kama walivyooredheshwa hapo juu mhandisi ujenzi hutoa kibali cha ujenzi baada ya kuhakikisha kuwa wataalam wamehakiki na yeye mwenyewe kujiridhisha.

Kama kuna eneo ambalo michoro haijakidhi vigezo kwa mujibu wa wataalam, marekebisho lazima yafanyike ndipo kibali cha ujenzi kitolewe.

NB. Taratibu za utoaji wa vibali vya ujenzi unaweza kutofautiana kidogo kati ya mamlaka moja na nyingine kutokana na taratibu mamlaka hiyo na watumishi waliopo.

Matangazo

  • MATOKEO YA FORM FOUR 2022 - 2023 February 01, 2023
  • Watumishi wa Umma walioma mwezi disemba February 01, 2023
  • Orodha ya majina ya wanafunzi waliopangiwa kidato cha tano mwaka 2019 June 02, 2019
  • Taarifa ya Ziara ya Waziri Mkuu November 22, 2017
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • ZIARA YA KAMATI YA SIASA TUNDURU

    February 04, 2023
  • UPANADAJI MITI

    February 04, 2023
  • Wafugaji wasiofuata Mwongozo wa Serikali Kuondolewa Tunduru

    February 01, 2023
  • Wafugaji wasiofuata Miongozi ya Serikali Kuondolewa Tunduru

    January 31, 2023
  • Ona Zote

Video

KILO 1,147,287 ZA KOROSHO ZIMEUZWA KWENYE MNADA WA SABA TUNDURU DC
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Taarifa ya Ukimwi kuishia decemba 2017
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.