• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

BARAZA LA MADIWANI TUNDURU DC LAPITISHA RASIMU YA BAJETI YA SHILINGI BILIONI 55 KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

Imewekwa : February 15th, 2026

Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru leo tarehe 15 Februari 2026 limefanya Mkutano Maalum wa kupitia Mpango na Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2024/2025, kufanya mapitio ya utekelezaji wa nusu mwaka wa fedha 2025/2026 (Julai–Desemba 2025) pamoja na kuidhinisha makadirio ya Mpango na Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2026/2027.


Mkutano huo umefanyika katika Ukumbi wa Klasta na kuongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru, Mhe.Sefu Hassan Dauda. Katika mkutano huo, Baraza la Madiwani limepokea, kujadili na kupitisha Rasimu ya Mpango na Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2026/2027 yenye jumla ya Shilingi 55,049,778,000.00.

Kati ya fedha hizo, Shilingi 38,027,851,400.00 sawa na asilimia 60 ni ruzuku kutoka Serikali Kuu, huku Shilingi 17,021,926,600.00 sawa na asilimia 40 zikitarajiwa kupatikana kupitia makusanyo ya mapato ya ndani ya Halmashauri.


Bajeti hiyo inaonesha ongezeko la asilimia 2.71, linalotokana na kuongezeka kwa makisio ya mapato ya ndani kutoka Shilingi 8,998,423,000.00 mwaka wa fedha 2025/2026 hadi kufikia Shilingi 10,497,251,000.00 kwa mwaka wa fedha 2026/2027.


Akiwasilisha rasimu ya Mpango na Bajeti kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri, Mkuu wa Idara ya Mipango, Bosco Mwingira, amesema kuwa Halmashauri imekadiria kukusanya Shilingi 10,497,251,000.00 kutoka mapato ya ndani kwa mwaka wa fedha 2026/2027. Kati ya fedha hizo, Shilingi 6,038,804,000.00 ni mapato yasiyolindwa, huku Shilingi 4,458,447,000.00 yakitokana na mapato lindwa.

Aidha, kupitia mapato ya ndani na utekelezaji wa mipango mkakati ya Halmashauri, mojawapo ya vipaumbele vikuu kwa mwaka wa fedha 2026/2027 ni kuimarisha sekta za huduma za jamii. Halmashauri imepanga kuajiri Walimu 100 wa kujitolea kwa mkataba kwa ajili ya Elimu ya Awali na Msingi, Watumishi 56 wa Sekta ya Afya, pamoja na Walimu 16 wa Mkataba, hatua inayolenga kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi wa Wilaya ya Tunduru.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • BARAZA LA MADIWANI TUNDURU DC LAPITISHA RASIMU YA BAJETI YA SHILINGI BILIONI 55 KWA MWAKA WA FEDHA 2026/2027

    February 15, 2026
  • DAMU SALAMA, UHAI SALAMA: TUNDURU YAKUSANYA CHUPA 224 ZA DAMU KUPITIA SHULE ZA SEKONDARI

    February 06, 2026
  • MAFUNZO YA KUWAJENGEA UWEZO MADIWANI TUNDURU YANAENDELEA.

    February 11, 2026
  • RPC RUVUMA AZINDUA RASMI JENGO LA DAWATI LA JINSIA NA WATOTO TUNDURU.

    February 09, 2026
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.