• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

ZAIDI ya kilo milioni 1 za mbaazi kuuzwa Tunduru.

Imewekwa : August 24th, 2023

Wakulima wa mbaazi wilaya ya Tunduru mkoani Ruvuma wamepata dhamana ya kuuza mbaazi kilo1,223,665, zenye thamani Zaidi ya bilioni 2.5 katika mnada wa pili wa mbaazi msimu wa 2023/2024.

Operesheni meneja Chama Kikuu cha Ushirika Tunduru (TAMCU LTD), Ndg. Marcelino Mrope amesema kwamba, tani 839 zenye thamani ya Zaidi ya shilingi bilioni 1.6 zilikusanywa katika mnada wa kwanza wa mbaazi kwa msimu huu. Ameyasema hayo wakati wa mkutano wa uuzaji wa mbaazi katika mnada wa pili Kijiji cha Msinji.

“Tulifanikiwa kukusanya tani 839 katika mnada wa kwanza wa mbaazi kwa msimu huu na kuuza mbaazi zetu kwa bei ya wastani shilingi 2,016 na kufanya zaidi ya shilingi bilioni 1.6 kuingia katika mzunguko wilaya ya tunduru”. Alisema

Katika mnada wa pili msimu huu wa mbaazi wanunuzi 15 wamejitokeza kuweka zabuni kununua mbaazi kilo 1,223,665, ambapo wanunuzi watano walifanikiwa kununua mbaazi zote zilizopo ghalani kwa bei ya juu shilingi 2,085 na bei ya chini shilingi 2,075 na kufanya bei wastani kuwa 2,079, ambapo jumla ya shilingi bilioni 2.5 zimeingia katika mzunguko wilaya ya Tunduru. Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa Chama kikuu cha ushirika Tunduru (TAMCU LTD) Ndg. Mussa Manjaule wakati akitangaza bei ya mbaazi katika mnada wa pili wa mbaazi.

Aidha Ndg manjaule amewasihi wakulima wilaya ya Tunduru kuwa fedha hizi wanazozipata waendelee kuwekeza katika sekta ya kilimo kwa kuwa kilimo ni muhimili muhimu wa uchumi katika wilaya yetu ya Tunduru na kuwaomba kuendelea  kulima Zaidi mazao hayo mbadala ya uchumi.

“Fedha tunazozipata  tukawekeze, sisi kama wakulima ili tufikie lengo la kupandisha uchumi wa wilaya yetu”

Mnada wa tatu wa zao la mbaazi katika wilaya ya Tunduru  unatarajiwa kufanyika  mnamo  Agosti 31,2023 katika Kijiji cha Angali .

Imeandaliwa na Orpa Kijanda,Kaimu Mkuu kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.