• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

ZAIDI ya bilioni 1 zakopeshwa kwa Wanawake, Vijana na wenye ulemavu Tunduru

Imewekwa : March 11th, 2024

Halmashauri ya wilaya ya Tunduru ni miongoni mwa Halmashauri nchini ambayo imekuwa ikitekeleza sharia ya fedha ya kutenga asilimia 10 ya mapato ya ndani yanayokusanywa kwa ajili ya kuwawezesha wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu waliopo kwenye makundi.

Katika kipindi cha miaka mitatu ya Serikali ya Awamu ya 06, Halmashauri imefanikiwa kutoa mikopo yenye Zaidi ya thamani ya Bilioni moja kwa vikundi 234, ambapo vikundi vya wanawake 95, vikundi vya Vijana 86, na vikundi vya wenye ulemavu 53.

Kwa upande wake Afisa Maendeleo ya Jamii (W) Bi. Jecelyne Mganga, ameishukuru Serikali ya awamu ya sita kwa kazi nzuri katika kuwafikia wananchi na kuboresha maisha yao, ikiwa ni pamoja kuwapatia mikopo wanawake, vijana na watu wenye ulemavu. Amesema mikopo hiyo imewezesha makundi haya kuanzisha na kukuza biashara zao, na hivyo kuboresha maisha yao.

"Serikali ya awamu ya sita imeonyesha dhamira ya dhati ya kuwaletea maendeleo wananchi wake, Mikopo hii imekuwa msaada mkubwa kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu katika Halmashauri yetu," amesema Bi. Jecelyne. "Uwezeshaji wa kiuchumi unawapa fursa ya kujikwamua kutoka katika umaskini na kujitegemea, Ninaomba wananchi wote waendelee kuunga mkono juhudi za Serikali hii ili tuweze kufikia malengo yetu ya maendeleo."

Pichani (Aliyevaa Miwani)  ni Afisa Maendeleo ya Jamii (W), Bi. Jecelyne Mganga.

Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru inaendelea kuipongeza Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum kwa kazi nzuri wanayofanya. Wizara hii imekuwa mstari wa mbele katika kutekeleza Sera za Serikali zinazolenga kuboresha maisha ya wananchi. Pia Halmashauri inaipongeza Serikali kwa ujumla kwa dhamira yake ya dhati ya kuwaletea wananchi maendeleo.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.