• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

WANUFAIKA wa mkopo wa asilimia 10 Tunduru wapewa mafunzo

Imewekwa : February 27th, 2025

Wanavikundi vya wajasiriamali na wafanyabiashara katika Halmashauri ya wilaya ya Tunduru ambao wamekidhi vigezo vya kupata mkopo wa asilimia kumi wapokea mafunzo ya mwisho. Mafunzo hayo yamefanyika tarehe 27.02.2025 katika ukumbi wa klasta Mlingoti.

Mafunzo haya yanalenga kuwaandaa wanavikundi hao ili waweze kutumia mikopo hiyo kwa ufanisi na kufikia malengo yao ya kukuza biashara zao. Mada zilizotolewa katika mafunzo hayo ni pamoja na, Usimamizi wa fedha, Uandishi wa mipango ya biashara, Mbinu mbalimbali za kibiashara, na Umuhimu wa kurejesha mikopo kwa wakati

Akizungumza katika mafunzo hayo Bi. Jeceline Mganga, ambaye ni Mkuu wa Kitengo cha Maendeleo ya Jamii katika Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru, aliwasihi wanufaika hao kuwa mabalozi wazuri na kuwasisitiza kutumia fedha hizo katika miradi au shughuli walizopanga ili ziweze kuwaletea faida na kuwawezesha kurejesha bila usumbufu

“Unaporejesha kwa wakati ndio unajiongezea sifa ya kukopa Zaidi” alisema Bi Jeceline. “Mikopo hii haina riba, hivyo tujitahidi kuitumia vizuri ili iwanufaishe”

Pichani ni Afisa Sheria, Bi. Mwanaharusi Chiutila






Aidha, Baada ya mafunzo, wanufaika walitakiwa kusaini mikataba, kuashiria kukamilika kwa hatua muhimu katika kupata mikopo hiyo. Zoezi hili lilisimamiwa na Mwanasheria wa Halmashauri Bi.Mwanaharusi Chiutila.












Mafunzo haya muhimu yanawapa wajasiriamali na wafanyabiashara elimu ya jinsi ya kutumia mikopo hiyo ili kuweza kuelewa jinsi ya kutumia mikopo hiyo katika kuleta maendeleo na ufanisi katika biashara zao. Pia mafunzo hayo yanawawezesha wajasiriamali kutambua wajibu wao katika kurejesha mikopo hiyo kwa wakati.

Lengo kuu la mikopo hii ni kuwawezesha wananchi wa Tunduru kujikwamua kiuchumi na kuinua biashara zao. Mikopo hii inatarajiwa kuwa na mchango mkubwa katika kuongeza kipato cha wananchi, kukuza ajira, na kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika wilaya hiyo.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • SULUHU YA KUDUMU Maji Tunduru Yapatikana: Mkataba Wa Bilioni 3.2 Wasainiwa

    May 07, 2025
  • BODI Ya Wakurugenzi wa Mamlaka Ya Maji Na Usafi Wa Mazingira Tunduru (TUUWASA) Yazinduliwa

    May 07, 2025
  • TUNDURU Yajizatiti Kukabiliana na Ugonjwa wa Mpox.

    March 27, 2025
  • TUNDURU Yaungana katika Dua na Iftar

    March 24, 2025
  • Ona Zote

Video

WANANCHI WAENDELEA KUPATIWA MAFUNZO KWA VITENDO ILI KUTATUA MIGONGANO YA BINADAMU NA WANYAPORI.
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.