• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

UJENZI WA VITUO VITATU VYA AFYA TUNDURU WAKAMAILIKA KWA ASILIMIA 90

Imewekwa : August 7th, 2019

Miradi ya ukarabati wa majengo ya vituo vitatu vya afya ndani ya Halmashauri ya wilaya ya Tunduru umekamilika kwa asilimia 95. halmashauri ilipokea shilingi bilioni 1.3 kwa ajili ya kukarabati wa vituo vitatu vya afya vya mkalase milioni 400, Mchoteka shilingi milioni 400 na kituo cha afya Matemanga milioni 500 ambazo zimetumika katika ujenzi wa majengo matano katika kila kituo cha afya.

Ukarabati na upanuzi wa vituo hivi vitatu vya afya ndani ya wilaya ya Tunduru vitaboresha utoaji wa huduma za afya kwani wilaya hii ina eneo kubwa la kiutawala ambalo linahitaji uboreshaji wa huduma za afya na miundombinu ya kutolea huduma hizo, ili kupunguza changamoto za wananchi kusafiri umbali mrefu kutata huduma za afya.

Halamshauri hii ya Tunduru ina hospitali tatu moja ikiwa ni ya serikali na 2 zinamilikiwa na taasisi za dini, na vituo vitano vya afya ambavyo huduma zake zilikua duni kwani zilikosa baadhi ya majengo kama ya upasuaji mdogo, jengo la mama na mtoto, maabara, wodi pamoja na nyumba za waganga hivyo kutoa huduma hafifu.

katika picha ni muonekano wa majengo ya kituo cha afya Matemanga kilichopo wilaya ya Tunduru jimbo la Tunduru kaskazini ikiwa ni mojawapo ya vituo vitatu vya afya vinajengwa na serikali ya awamu ya tano katika utekelezaji wa utoaji wa huduma bora za afya kwa wananchi na kuhakikisha kuwa serikali inafika katika uchumi wa viwanda ifikapo 2025.

Vituo hivi vya Mkasale na Mchoteka vilivyopo katika Jimbo la Tunduru Kusini na Kituo cha Afya Matemanga kilichopo Jimbo la Tunduru kaskazini kukamilika kwake na kuwepo kwa wataalam wa kutosha kutapunguza sana tatizo la kinana mama kutembea umbali mrefu kufata huduma za afya na kupunguza vifo vya mama na mtoto kwa kiwango kikubwa ndani ya wilaya ya Tunduru.



Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.