• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

UHIFADHI WA MALIASILI NA MAENDELEO KWA JAMII

Imewekwa : June 10th, 2023

Katika mafunzo hayo leo wajumbe walipata kujifunza juu ya muimili muhimu wa fedha katika jumuiya hizi za uhifadhi  wa maliasili na rasilimali zetu, katika mafunzo hayo kulizungumziwa suala muhimu la kuongeza mapato ya ndani ya jumuiya  za uhifadhi ambapo afisa mjenga uwezo  wa WMA alitaja vyanzo muhimu vya mapato vitakvyokuwa tija kwa jumuiya za uhifadhi maliasili kwa uendelevu wa kiuchumi kwa jumuiya na jamii kwa ujumla ambavyo ni Hewa ya ukaa, Utalii wa picha na Utalii wa uwindaji.

Mjenga uwezo alisema biashara ya hewa ukaa kama chanzo cha mapato kwa jumuiya za uhifadhi inaweza kuingiza zaidi ya milioni 400 kwa mwaka ,aidha alitaka jumuiya za uhifadhi kuzidi kutunza na kuhifadhi misitu  ili biashara hii iwe  na tija kubwa kwa jumuiya za uhifadhi kwa ushirikiano na jamii zinazotuzunguka kwa manufaa ya vizazi vijavyo.

Aidha kaimu afisa maliasili na uhifadhi wa mazingira (W) Ndg.Dunia Almasi kwa upande wake aliliomba shirika la Honeyguide kuwa na uratibu wa mafunzo hayo kwa viongozi  wa vijiji ,madiwani na hata maafisa tarafa  pia elimu hii iweze kuwafikia wananchi  moja kwa moja  kwa lengo kubwa la kujenga uelewa kwa wananchi.  “uhifadhi utakuwa na tija zaidi kama utagusa ngazi ya kaya moja moja” alisema.pia afisa maliasili alitoa changamoto kubwa inayoikumba sekta ya uhifadhi maliasili kwa wilaya ya Tunduru  ya ukosefu wa wawekezaji na kuwaomba wawekezaji kuja kuwekeza katika uhifadhi wilaya ya Tunduru  kwa maslahi mapana ya wanajamii.

Kwa upande mwingine afisa maendeleo ya jamii Bi Jeseline Mganga  alisema katika jumuiya hizi tuna jukumu la kuhamasisha katika uanzishwaji wa vikundi kwa ajili ya kutunza pesa na kujipatia mikopo itakayo wasaidia katika kuanzisha  shughuli nyingine za kuwaingizia kipato zitakazowasiaidia katika kujikwamua  kiuchumi .

Mafunzo ya takribani siku nne(04) juu ya uhifadhi  wa rasilimali na mali asili za nchi yetu yanayotolewa na muungano wa jumuiya za uhifadhi wa wanyama pori Tanzania (CMWA) ,leo  June 11, 2023 yametamatishwa katika wilaya ya Tunduru ,mafunzo hayo yakiwa yalilenga kutoa elimu juu ya uhifadhi wa rasiliamli na maliasili ambapo kwa wilaya ya Tunduru yalitolewa na shirika moja wapo la uhifadhi mali asili  lijulikalo kama Honeyguide .

WAJUMBE WA MAFUNZO YA UHIFADHI WA MALIASILI NA RASILI,ALI WAKIWA KATIKA ZOEZI LA KUKUMBUSHANA YALE WALIOPATIWA NA WAWEZESHAJI WA MAFUNZO HAYO (katikati ni ndg Selemani (mkufunzi) ).

#tembo na maendeleo

#misiti ni pesa

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.