• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

RC Mndeme Atoa Siku Saba Wakulima Kulipwa Fedha Zao

Imewekwa : May 9th, 2018

Hayo yamesemwa na mkuu wa mkoa wa Ruvuma Bi Christina Mndeme katika kikao cha tathimini ya uuzaji wa zao la korosho kwa msimu wa korosho mwaka 2017/2018, ambapo changamoto za baadhi ya wakulima hawajalipwa fedha kutokana na baadhi ya viongozi wa vyama vya msingi kufanya udanganyifu na kuwalipa wakulima mara mbili.

  Akizungimza katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa klasta ya mlingoti mapema wiki hii Bi Mndeme amesema kuwa kuna jumla ya wakulima wapatao 178 ambao wanadai vyama vya msingi jumla ya milioni 143,182,670.63 fedha ambazo baadhi ya waandishi wa vyama vya msingi walijilipa wenyewe na wengine kuwalipa wakulima mara mbili hivyo kuleta usumbufu kwa serikali na wananchi.

Bi mndeme alisema “ninatoa siku saba (7) tuu kwa wakulima walioingiziwa fedha za korosho mara mbili kwa makosa ndani ya katika akaunti zao kuhakikisha kuwa wanazirejesha ili walipwe wakulima ambao hawajalipwa fedha zao”.

viongozi wa vyama vya msingi wakifuatilia mkutano wa tathimini ya uuzaji wa zao la korosho mkoa wa Ruvuma katika msimu wa korosho mwaka 2017/2018.

Vilevile kwa viongozi wa vyama vya msingi aliwataka ndani ya siku saba wawe wamerejesha fedha zote za wakulima ambazo hawajalipa mpaka sasa, na kwa wale ambao hawatatekeleza kwa wakati serikali haitosita kuwachukulia hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kuwapeleka mahakamani na kuwafungulia kesi. alisema Bi Mndeme.

Huku mwandishi wa Maji Maji Amcos akikabidhiwa kwa mkuu wa Jeshi la  polisi Mkoa kwa ajili ya kufanyiwa mahojiano baada ya kubainika kujiingizia fedha za wakulima milioni 72 katika akaunti yake binafsi kinyume cha sheria.

Hata hivyo alimalizia kwa kuvitaka  vyama vyote vya msingi vya ushirika wilayani Tunduru kuajiri waandishi ambao ni wazalendo na wanaojali maslahi ya wakulima ili kuepukana na watu wachache wenye tamaa ya kuwaibia wananchi.



Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.