• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Milioni 194 kuwanufaisha wanawake na Vijana

Imewekwa : February 2nd, 2018

Milioni 194 kunufaisha vijana na wanawake


Jumla ya shilingi milioni 194 zimetolewa na halmashauri ya tunduru kwa vikundi vya wajasiriamali wanawake na vijana na walemavu  94  vilivyokindi vigezo na kufuata taratibu za mkopo.


Akisoma taarifa kwa  mgeni rasmi kaimu Mkurugenzi Mtendaji wilaya ndg Chiza Marando amesema wanakumbana na changamoto ya kukosekana kwa uaminifu kwa baadhi ya wanavikundi,kutofuata katiba walizojiwekea, na migogoro baina yao inayopelekea vikundi kuvunjika na kushindwa kurejesha mkopo kwa Halmashauri.

 kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Tunduru ndg Chiza Marando alisema  mikopo hii ni endelefu hivyo ni vyema kwa kila kikundi kurudisha kwa wakati fedha walizokopeshwa ili na wananchi wengine waweze kupata mkopo.


Akiwahutubia wananchi baada ya kukabidhi Hundi ya Milioni 194 kwa vikundi vya wanawake, walemavu  na vijana vipatavyo 94 vilivyopata  mkopo leo,  mkuu wa Wilaya ya Tunduru Juma Homera alisema fedha hizi muwekeze katika biashara na zitumike kwa  kazi mliyoombea ili ziweze kuzalisha na kuwasaidia kuondokana na hali ngumu ya maisha.


Pia ameupongeza uongozi wa halmashauri ya wilaya ya Tunduru kwa kutenga fedha za asilimia kumi na kuwezesha  vikundi vya wanawake, Vijana na walemavu ikiwa ni utekelezaji wa ilani ya chama cha mapunduzi (CCM)ya mwaka 2015 hadi 2020.


Pia aliendelea kusema kuwa nawakumbusha wananchi kurudisha mikopo hiyo kwa wakati ili kuwezesha na wengine kukopa na Halmashauri kuwa na uwezo wa kukopesha vikundi vingi zaidi.

"nasema wale watakaorudisha fedha hizi kwa wakati ndio serikali itawakopesha tena kwa awamu nyingine tena na watakaoshindwa kurejesha hatutasita kuwachukulia hatua za kisheria"

Naye mwenyekiti  wa Halmashauri ya Tunduru mh Mbwana Mkwanda Sudi  aliwataka wanaume kutoingilia matumizi ya fedha za mkopo waliochukua wanawake ili waweze kuendeleza shughuli zao na kujikwamua na umaskini. 

"niwaombe wanaume wenzangu kuacha kuchukua fedha hizo na kudai gawio kutoka kwa wake zetu na wengine kuchukua na kwenda kuongeza familia ya pili"

Lengo la serikali ni kuhakikisha kuwa wananchi wanakua na hali nzuri za kiuchumi na kujikwamua na umaskini, hivyo tushikiane kwa pamoja katika kuleta maendeleo. 



Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.