• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MASOMO ya Sekondari kwa njia mbadala kutolewa Tunduru.

Imewekwa : December 14th, 2023

Wizara ya Elimu Sayansi na Teknolojia kupitia Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima inasimamia utolewaji wa masomo ya Sekondari kwa njia mbadala katika vituo na shule za sekondari wilayani Tunduru.

Serikali Katika kuhakikisha wanafunzi wa kike waliokatisha masomo yao ya sekondari katika mfumo rasmi, kwasababu mbalimbali zikiwemo ujauzito, hali ngumu ya maisha, maradhi ya kudumu na nyinginezo wanarudi shule na kuendelea na masomo yao, imeandaa program mbalimbali za Elimu ya Sekondari kwa njia mbadala (alternative Education Pathway).

Akifafanua Afisa Elimu ya watu wazima (DSAEO) wa Halmashauri ya wilaya ya Tunduru, Bi. Mariam Magulima, katika kikao maalumu cha walimu na wanafunzi, alielezea program tatu ambazo ni SEQUIP-Aep ambayo hutolewa kwa wasichana (kuanzia miaka 13-21) waliokatisha masomo yao ya Elimu ya Sekondari kwa sababu mbalimbali ikiwemo,ujauzito, ugonjwa na hali duni ya maisha, na kwamba gharama za program hii zinatolewa na serikali.

Aidha, Bi. Mariam Magulima, alisema program ya pili ni ya masomo ya jioni (Private Candidate), walengwa ni wote waliomaliza darasa la saba (VII) lakini hakuchaguliwa kuingia kidato cha kwanza, walioacha kusoma Sekondari kwa sababu mbalimbali, gharama zake zinachangiwa na wazazi/walezi (wahusika)

“Program ya tatu inawalenga wote waliomaliza elimu yao ya kidato cha nne na hawakufauru (Re-siters)” Alisema Bi. Mariam Magulima “Ninyi ambao mmefanikiwa kujiunga na program hizi mkawe mfano bora kwa wengine wenye sifa kama zenu, ili kila mmoja wetu asikose fursa ya kupata Elimu Bora”.

Vituo 8 Wilayani Tunduru vinaendelea kupokea wanafunzi ambao watajiunga na program hizi kwa mwaka wa masomo 2024, vituo hivyo ni pamoja na Nandembo, Mataka, Muhuwesi, Nakapanya, Misechela, Mlingoti TRC, Nandembo FDC, Nalasi Sekondari. Hivyo,wazazi/walezi wanahimizwa kuwapeleka watoto wao wenye sifa tajwa hapo juu ili wapate haki yao ya msingi kielimu.

Imeandaliwa na Orpa Kijanda, Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.