• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Makusanyo Robo ya 1&2 Tunduru Dc Bilioni 2.5 Sawa na 54%

Imewekwa : January 26th, 2023

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru Mh.Hairu Mussa alisema “Hali ya ukusanyaji Mapato sio zuri sana kwa sasa katika robo hii ya pili kwa Mapato ya Ndani tumeweza kupata TZS 1,645,526,894.38 amabapo kutoka Julai hadi December Halmshauri imeweza kukusanya Jumla ya Mapato ni  Tzs 2,553,034,258.57 Sawa na 54% ya lengo la Mwaka kwahiyo Waheshimiwa Madiwani kwa Kushirikiana na Wataalam tuhakikishe tunaendelea kubuni vyanzo vipya vya mapato na kusimamia kikamilifu vyanzo vilivyopo ili kufikia Malengo ya mwaka”.

Kwa upande wa Idara ya Afya Mh.Hairu Mussa aliseama “kwanza naomba nitoe pongezi zangu za dhati kwa Kamati ya Elimu,Afya na Maji, Mkurugenzi Mtendaji Wilaya ,Mganga Mkuu wa Wilaya na Timu yake yote ya wataalam wa Afya kwa kuweza kuisimamia idara ya Afya na kuleta nidhamu  kwa Watumishi wetu wa Afya”.

 Pia Mwenyekiti wa Halmashauri alitoa Shukurani za dhati kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DKT.SAMIA SULUHU HASSANI Kwa kuipatia Idara ya Afya 1,100,000,000/=, Kwajili ya miradi ya Ukarabati wa Hospitali ya Wilaya,Ukamilishaji wa Ujenzi wa Zahanati katika Kijiji cha Likweso, Ukamilishaji wa Ujenzi wa Zahanati katika Kijiji cha Namasalau, Ukamilishaji wa Ujenzi wa Zahanati katika Kijiji cha Malombe na Ukamilishaji wa Ujenzi wa Zahanati katika Kijiji cha Nangolombe”.

Mh.Hairu Mussa aliendelea kusema “Pia ikumbukwe Kupitia Mapato ya Ndani Halmashauri imetenga 343,523,169.67 kwajili ya kumalizia Miradi ya Afya kama ifutayo :- Kituo cha Afya Nakayaya, Nalasi, Masonya ,Zahanati ya kijiji cha Angalia na Zahanati ya Kijiji cha Mnazimmoja lengo vikamilike na Wananchi wetu waanze kupata Huduma”.

 Pia Mh.Mwenyekiti aliwakumbusha Wananchi na Vingozi wote kuwa katika swala la Afya zetu tukumbuke kuwa UKIMWI upo kwahiyo ni vizuri tuchukue hatua ikiwemo matumizi ya Kondomo pia ni vema kwa sisi Viongozi hii iwe ajenda yetu ya Kudumu katika Vikao vyetu Mbalimbali.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.