• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

MAADHIMISHO SIKU YA FAMILIA DUNIANI

Imewekwa : May 15th, 2023

Maadhimisho ya siku ya familia dunia  kila mwezi wa tano tarehe 15 kila mwaka ,wilaya ya Tunduru imeungana na wanafamilia wote kote dunia kuadhimisha siku hiyo.

Katika maadhimisho hayo wilayani Tunduru yamefanyika katika kata ya  majengo  katika shule ya msingi muungano na Mgeni rasmi alikuwa mheshimiwa diwani wa kata hiyo mh.Abdallah Rajabu Abdallah , katika maadhimisho hayo yaliudhuliwa na ofisi ya ustawi wa jamii ,dawati la jinsia na ofisi ya upingaji ukatili wilaya ya Tunduru (SMAUJATA).

Wanafamilia walisisitizwa suala la  kudumisha upendo pamoja na kuyatunza maadili mema hasa kwa watoto wa kizazi hiki na manufaa ya kizazi cha baadae,pia kupitia mwenyekiti wa kampeni huru  yaupingaji ukatili SMAUJATA ndug. FLorian Mrope  amewasisitiza wanafamilia katika upingaji wa aina yeyote ya ukatili ambao unafanyika katika maisha yetu ya kila siku pia kupitia dawati la kijinsia la Tunduru limewataka wananchi na wanafamilia kwa ujumla kuripoti mambo yote maovu yanayofanyika katika jamii zetu ili kujenga familia bora na yenye maadili mema kwa kizazi  cha sasa na kijacho yalisemwa na afande wa dawati la jinsia WP 7391 CPI Asia Botea.

Afisa ustawi wa jamii wilaya Bi Blandina Sekula ameiomba jamii  hasa wazazi kuwa na ukaribu na watoto kwa kuwa utimilifu wa familia ni pamoja na watoto , kwahiyo ametoa rai kwa wazazi wote ulimwenguni kuwa na utaratibu wa kutenga muda kwaajili ya kuketi na watoto pamoja ili kujua changamoto zao katika jamii waishiyo na kuweza kufahamu mahitaji ya karibu ya watoto wao.

Matangazo

  • VIWANJA vilivyopimwa vinauzwa. September 06, 2023
  • MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2022/2023 July 24, 2023
  • TAARIFA KWA UMMA KWA WENYE VIWANJA HALMASHAURI YA WILAYA TUNDURU. September 07, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI HALMASHAURI YA WILAYA YA TUNDURU. September 18, 2023
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MAFUNZO ya Usimamizi endelevu wa Maliasili ya Jamii.

    September 22, 2023
  • JUKWAA la Wanawake lazinduliwa Tunduru.

    September 21, 2023
  • UBORESHAJI wa vyoo 2022/2023 Tunduru

    September 18, 2023
  • KILELE cha maadhimisho ya siku ya usafishaji Duniani.

    September 16, 2023
  • Ona Zote

Video

KUELEKEA Mnada wa Mwisho wa Mbaazi Tunduru.
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.