• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

KILA MOJA ANA HAKI MBELE YA MACHO YA SHERIA

Imewekwa : June 23rd, 2023

Katika kuazimisha siku ya wajane duniani ,leo Halmashauri ya wilaya ya Tunduru kupitia idara ya maendeleo ya jamii imeshiriki maadhimisho hayo kwa kukutana na wajane wa wilaya ya Tunduru na kutoa elimu na kujadili masuala mbalimbali yawahusu wajane, katika kata ya Nanjoka ,kijiji cha Nanjoka na kuhudhuriwa na mgeni rasmi Mheshimiwa Diwani wa kata hiyo Saidi Kihosa. 

Katika maadhimisho hayo pia wadau mbalimbali walishiriki wakiwemo wadau wa sheria, ustawi wa jamii na wanadawati la jinsia.

Ambapo mada mbalimbali zilijadiliwa  na elimu juu ya haki na wajibu wa wajane kisheria zilitolewa.

Katika muendelezo wa majadiliano hayo na elimu. Hakimu mkazi, mahakama ya mwanzo tarafa ya Nakapanya Bi jane pascal Mudogo alieleza juu ya haki ,wajibu na taratibu za kisheria juu ya urithi wa mali zilizoachwa na wenza wao, aliwaambia  wanatakiwa kufuata taratibu zote za kisheria ikiwa pamoja na kufika mahakamani ili kupata msaada wa kisheria katika masuala hayo.

Pia Bi jane aliwasihi wajane kutoshikamana au kukubaliana  na mila na desturi za kurithiwa baada tu ya  mwenza wao kufariki , aliwataka kushirikiana na vyombo vya dola katika kutokomeza milana desturi  hii kwan ni kosa kisheria kufanya hivyoo.

Aidha  Bi Brandina Sekela afisa ustawi wa jamii (W) Tunduru aliwaomba wajane kuwa wabunifu na kutafuta fursa mbali mbali ili kuweza kupambana na kuzidi kujiinua kiuchumi  kwa sababu kuondokewa na wenza sio mwisho  wa maisha yatubidi kupambana ili kuweza kushindana na hali ya maisha ya kila siku, alisema.

Kwa upande mwingine Mhe.Diwani Saidi kihosa alizungumza kwa kuanza kuwapa polee wajane kwa wakati mgumu waliopitia na wanaoendelea kuupitia ,pia aliwatia imani na nguvu kuwa bado wana nafasi ya kuendelea katika kuboresha familia zao na kusimami mlezi ya watoto wao, kwa muktadha huo aliwataka wajane kudumusha upendo kuwasimamia watoto wao katika maadili yanayopaswa na stahiki ili tuweze kuwa na kizazi bora cha hapo baadae.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.