• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Hosteli

Imewekwa : November 13th, 2017


Milioni 28 Kukamilisha Ujenzi wa Bweni -Matemanga.

Kufuatia umbali kutoka shuleni hadi nyumbani Halmashauri ya wilaya ya Tunduru katika mwaka wa fedha 2016/2017 imefanikiwa kujenga hosteli yenye thamani ya shilingi milioni 28,000,000.00 kutoka katika ruzuku ya Miradi ya  maendeleo (LGCDG)  katika shule ya sekondari Matemanga wilayani Tunduru mkoa wa Ruvuma ikiwa ni mkakati wa kupunguza  kero ya wanafunzi kutembea  umbali mrefu kufuata huduma ya elimu.

Kukamilika kwa ujenzi wa hosteli katika shule ya sekondari matemanga kutasaidia sana kupunguza kero kwa wanafunzi wanaosafiri umbali mrefu kufuata huduma ya elimu na kwa kupunguza gharama kwa wazazi kwani kwa asilimia kubwa wanafunzi walikuwa wanaishi katika nyumba za kupanga.

“wanafunzi kuishi katika mazingira ya shule kutapunguza usumbufu waliokuwa wanapata wazazi kwa kuwapangishia watoto nyumba mtaani hali ambayo inaleta usumbufu kwa walimu na wazazi”alisema mkuu wa shule ya sekondari matemanga.

Wanafunzi kuishi katika mazingira ya shule itasaidia katika masuala mengi ikiwa ni pamoja na kuweza kudhibiti nidhamu za wanafunzi kwani muda mwingi watukuwa chini ya uangali wa walimu ukilinganisha na awali walipokuwa wanapanga mitaani.

Katika mpango wa bajeti wa mwaka 2016/2017 Halmashauri ilitenga fedha kwa ajili ya ujenzi wa hosteli na ukarabati katika shule za sekondari za Semeni, Mataka, Lukumbule, Nalasi, Ligoma na Matemanga Sekondari ikiwa pia miongoni mwa shule hizo.

Uboreshaji wa miundombinu ni miongoni mwa mikakakti ya halmashauri katika kuongeza kiwango cha elimu na ufaulu kwa kuwajengea mazingira Rafiki na wezeshi wanafunzi ili waweze kutumia muda mwingi wa kujisomea.

Serikali itaendelea kuweka katika mpango wa bajeti ujenzi wa hosteli na uboreshaji miundombinu ya shule ikiwa ni pamoja na madarasa, nyumba za walimu na ujenzi wa matundu ya vyoo ili kuweka mazingira Rafiki ya  kufundishia na kusomea kwa wanafunzi na kuongeza kiwango cha ufaula katika shule zote kutokana na mazingira ya shule za kata nyingi  kuwa mbali na vijiji wanapotoka wanafunzi.


Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.