• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

DC Mtatiro atembelea Shule ya Sekondari Ligunga

Imewekwa : January 30th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Mhe. Wakili Julius S. Mtatiro, amefanya ziara ya kikazi kutembelea Shule ya Sekondari Ligunga. Katika ziara hiyo, amekagua miundombinu mbalimbali ikiwemo ya maji na vyoo.

Akiwa katika ziara hiyo, Mhe. Mtatiro alibaini uchakavu wa vyoo vinavyotumiwa na wanafunzi na vyoo vya walimu pamoja na shida ya maji. Ametoa agizo la ujenzi wa dharura wa vyoo hivyo kuanza kufanyika mara moja.

“Ninaagiza ujenzi wa dharura wa vyoo vya shule hii uanze mara moja,” alisema Mhe. Mtatiro. “Vyoo hivi ni muhimu kwa wanafunzi na walimu, na ni lazima viwe katika hali nzuri.”

Mhe. Wakili, Mtatiro pia alimuagiza Meneja wa Usambazaji Maji Vijiji (RUWASA), Eng. Maua Lugala, kuhakikisha wanashirikiana na TANESCO ili kufanya tathmini ya kuweza kusogeza maji karibu zaidi na shule hiyo.

“Shule hii inahitaji maji ya uhakika,” alisema Mhe. Mtatiro. “Ninaagiza RUWASA na TANESCO kufanya tathmini ili tuweze kusogeza maji karibu na shule hii.”

Meneja wa TANESCO Tunduru na Meneja wa RUWASA wote wawili wamepokea maelekezo na kuahidi kushirikiana na Halmashauri kuhakikisha Shule ya Sekondari Ligunga inakuwa na maji ya uhakika yatakayovutwa kwenye kisima cha shule na kurahisisha maisha ya wanafunzi shuleni hapo.

Akizungumza na wanafunzi wa shule hiyo, Mhe. Mtatiro aliwasisitiza kuthamini elimu. Alisema kuwa elimu ndio msingi wa mustakabali mzuri wa maisha yao.

“Elimu ni muhimu sana kwa maisha yenu,” alisema Mhe. Mtatiro. “Ninyi ni vijana wa kesho, na elimu itawasaidia kufikia malengo yenu.”

Mhe. Wakili, Mtatiro pia aliahidi kuwa serikali itaendelea kujenga na kuboresha miundombinu na mazingira ya kujifunzia kwa Shule zote zilizopo katika Wilaya ya Tunduru.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru, kwa mamlaka yake kama Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, amemuahidi DC Mtatiro kuwa ataiongoza Halmashauri kuhuisha miundombinu ya shule ya Ligunga.

Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.