• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Idara
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Maliasili na Utalii
      • Ushirika
      • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Teknolojia ya Habari na Mawasiliano
      • Mawasiliano Serikalini
      • Michezo,Utamaduni na Sanaa
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Huduma za Watumishi
    • Elimu
      • Elimu ya awali na elimu msingi
      • Elimu Sekondari
    • Kilimo,Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

BARAZA la Madiwani robo ya kwanza Tunduru.

Imewekwa : November 1st, 2023

Baraza la Madiwani la robo ya kwanza kwa mwaka wa fedha 2023/2024 limefanyika Novemba 01,2023 katika ukumbi wa Mikutano wa Klasta-Mlingoti, mkutano huo uliongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Tunduru, Mheshimiwa Hairu Mussa.Lengo kuu la mkutano huo lilikuwa ni kujadili taarifa za utekelezaji wa shughuli za maendeleo za Halmashauri kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2023/2024.

Mkutano huo ulianza kwa kupokea na kujadili taarifa za utekelezaji wa shughuli za maendeleo za kata kwa kipindi cha robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2023/2024. Taarifa hizo ziliwasilishwa na kamati za baraza la Madiwani  ambazo ni kamati ya fedha,uongozi na Mipango, Kamati ya  Uchumi,ujenzi na Mazingira, Kamati ya Huduma za jamii,Kamati ya Maadili pamoja na Kamati ya kudhibiti ukimwi.

Mhe. Hairu amewapongeza wataalamu na watendaji wote katika Halmashauri, na pia kuwaomba wasimamie kikamilifu ukusanyaji wa mapato pamoja na usimamizi wa miradi ya maendeleo ambayo inaendelea kutekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru.

“Elimu itolewe juu ya viuatilifu ili kuongeza tija kwenye sekta ya kilimo, kwani wanachi wengi Wilayani Tunduru wanategemea kilimo” alisema. “kazi kubwa ya Diwani ni kusimamia hali ya uchumi, niwaombe sana twende tukawashawishi wananchi kupeleka  korosho zao ghalani, lakini pia tuhakikishe tunapata ushuru ambao utasaidia katika kujenga miundombinu Wilayani kwetu”

 Waheshimiwa madiwani wameadhimia yafuatayo katika kuhakikisha kuwa Halmashauri inafikia malengo yake iliyojiwekea katika kuleta maendeleo kwa wananchi, maadhimio hayo yalikuwa ni kuhakikisha mtaalamu anaenda kukagua na kufuatilia ukusanyaji wa mapato, hasa mapato ya yatokanayo na mazao, taarifa ya wakulima wanaolima katika bonde la mto Masonya kuwasilishwa katika Baraza lijalo, Meneja wa TANESCO kuwasilisha michoro ya mradi wa umeme maeneo ya vijijini, Makorongo

Imeandaliwa na Orpa Kijanda, Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru.


Matangazo

  • MKOPO WA HAZINA KWA WATUMISHI WA UMMA FUNGU 82N2 March 25, 2025
  • TANGAZO LA KUJIUNGA NA JESHI LA KUJENGA TAIFA KWA UTARATIBU WA KUJITOLEA October 01, 2024
  • TANGAZO LA MNADA WA HADHARA December 12, 2024
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOTAKIWA KUSHIRIKI USAILI WA AJIRA YA MUDA YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KATIKA WILAYA YA TUNDURU January 12, 2025
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA ROBO YA KWANZA CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA LISHE KATA NA WILAYA CHAFANYIKA TUNDURU.

    November 18, 2025
  • KAMATI YA LISHE Tunduru Yajadili Mikakati Ya Kuimarisha Afua Za Lishe Katika Jamii.

    November 13, 2025
  • DC MASANJA AKAGUA MAENDELEO YA UJENZI WA MRADI WA MAJI MSINJI, ATAKA UKAMILISHWE HARAKA

    October 24, 2025
  • DC MASANJA ATOA WITO WA AMANI KWENYE UCHAGUZI, AENDELEA KUPIGA VITA MIGOGORO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI TUNDURU.

    October 23, 2025
  • Ona Zote

Video

RC RUVUMA AWAPA POLE WANANCHI AMBAO NI MAJERUHI WA MGOGORO BAINA YA WAFUGAJI NA WAKULIMA TUNDURU
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.