ifahamu Idara ya Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru
Idara ya Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika ni miongoni mwa idara mama katika Halmashauri ya wilay aya Tunduru, Idara ina jumla ya watumishi 75 na mkuu wa idara mmoja ambaye anasimamia na kuratibu shughuli zote za idara. Idara hii ina mawanda mapana kwani imegawanyika katika sekta ya kilimo na ushirika
Majukumu/Huduma za kitengo cha Kilimo ni kama ifuatavyo
Majukumu ya kitengo cha Ushirika ni kama ifuatavyo
MIRADI ILIYOTEKELEZWA 2016/2017:
Halmashauri ya Wilaya Tunduru
Anuani ya Posta: 275, TUNDURU
Simu: + 255-025-2680004
Simu ya Nununu:
Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz
Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.