• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Departiment
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maliasili na Utalii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utumishi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Information, Technology, Communication and Public Relation
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
    • Kilimo
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
      • Kata ya Mbati
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika

ifahamu Idara ya Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika ya Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru 

Idara ya Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika ni miongoni mwa idara mama katika Halmashauri ya wilay aya Tunduru, Idara ina jumla ya watumishi 75 na mkuu wa idara mmoja ambaye anasimamia na kuratibu shughuli zote za idara. Idara hii ina mawanda mapana kwani imegawanyika katika sekta ya kilimo na ushirika

Majukumu/Huduma za kitengo cha Kilimo ni kama ifuatavyo

  • Kuhamasisha wakulima kutumia zana bora za kilimo
  • Kusimamia na kuboresha uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara mfano kama Korosho, Mahindi,Mpunga,Ufuta,Mbaazi,Choroko,Mihogo,Viazi nk
  • Kusimamia na kuboresha miundombinu ya umwagiliaji,maghala na masoko
  • Kusimamia na kuboresha uzalishaji w amboga mboga na matunda
  • Kukusanya na kutunza takwimu za kilimo
  • Kufuatilia na kusimamia shughuli za utoaji elimu kwa wakulima (Extension)


Majukumu ya kitengo cha Ushirika ni kama ifuatavyo

  • Kuhamasisha na kutoa elimu ya ushirika kwa jamii
  • Kusimamia mchakato wa uanzishwaji wa vyama vya ushirika vya aina mbalimbali
  • Kukagua,kusimamia na kutoa ushauri wa namna bora ya uendeshaji wa vyama vya ushirika.
  • Kutoa elimu kwa wanachama,bodi na watendaji wa vyama vya Ushirika
  • Kushughulikia migogoro ya baadhi ya vyama vya Ushirika vya mazao
  • Kufuatilia takwimu za ununuzi na mapokezi ya korosho kila pindi msimu unapoanza.
  • Kufanya ukaguzi wa awali wa vitabu vya ununuzi wa korosho.
  • Kufuatilia uhai wa VICOBA
  •  

MIRADI ILIYOTEKELEZWA 2016/2017:

  • Mpango wa Wilaya wa kuendeleza kilimo(DADPS)
  • Ujenzi wa barabara ya kuelekea skimu za umwagiliaji ya Leloleo 3.5 km na Kitanda 6.6 km
  • Ujenzi wa barabara ya kuelekea skimu za umwagiliaji ya Madaba 5.5 km na Misyaje 7.3km
  • Ujenzi wa miundombinu ya Soko la mchele na Ghala Nakayaya.

Matangazo

  • MATOKEO YA FORM FOUR 2022 - 2023 February 01, 2023
  • Watumishi wa Umma walioma mwezi disemba February 01, 2023
  • Orodha ya majina ya wanafunzi waliopangiwa kidato cha tano mwaka 2019 June 02, 2019
  • Taarifa ya Ziara ya Waziri Mkuu November 22, 2017
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • ZIARA YA KAMATI YA SIASA TUNDURU

    February 04, 2023
  • UPANADAJI MITI

    February 04, 2023
  • Wafugaji wasiofuata Mwongozo wa Serikali Kuondolewa Tunduru

    February 01, 2023
  • Wafugaji wasiofuata Miongozi ya Serikali Kuondolewa Tunduru

    January 31, 2023
  • Ona Zote

Video

KILO 1,147,287 ZA KOROSHO ZIMEUZWA KWENYE MNADA WA SABA TUNDURU DC
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Taarifa ya Ukimwi kuishia decemba 2017
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.