• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Tunduru District Council
Tunduru District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Tunduru

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Vision and Mission
  • Utawala
    • Departiment
      • Fedha na Biashara
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu Msingi
      • Maji
      • Elimu Sekondari
      • Afya
      • Ujenzi na Zimamoto
      • Maliasili na Utalii
      • Kilimo,Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Usafi na Mazingira
      • Mipango,Ufuatiliaji na Takwimu
      • Utumishi
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji Nyuki
      • Information, Technology, Communication and Public Relation
    • Muundo wa Taasisi
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Biashara na Viwanda
    • Mining
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Maji
    • Huduma za Watumishi
    • Kilimo
    • Elimu
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
    • Mifugo na Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha za Madiwani
      • Kata ya Mbati
    • Kamati za Kudumu
      • Fedha,Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Ujenzi na Mazingira
      • Huduma za Jamii
      • Kudhibiti Ukimwi
      • Maadili
    • Time Table
  • Miradi
    • Miradi Iliyokamilika
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Tarajali
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Fomu
    • Machapisho
    • Mkataba wa Huduma kwa wateja
    • Sheria Ndogo
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Video
    • Habari

Kampuni ya Paramount commodities imeshinda Mnada wa tarehe 15/08/2020 wa kwanza wa kununua zao la mbaazi

Posted on: August 15th, 2020

Mh. Makamu Mwenyekiti Ndg Musa Athumani Manjaule  wa Chama cha ushirika cha  tamcutunduru ameitangaza kampuni ya Paramount Commodities kuwa imeshinda mnada wa tarehe 15/08/2020  kununua zao la mbaazi kati ya makampuni matatu ambayo yalijitokeza ambapo kampuni ya Paramount commodities itanunua Kgs 420,756  Bei 580.00 Thamani 244,038,480.00

Pia makamu mwenyekiti amewataka wanunuzi katika mnada ujao wajitaidi kuongeza bei kwani kwa mnada huu wa kwanza bei zao ni za chini sana hivyo amewataka wajipange vizuri katika mnada ujao aidha makamu mwenyekiti huyo amesema kuwa makato kwa wanachama wake utazingatia na umbali wa wanachama wanako toka. 

Aidha kabla makamu mwenyekit haja soma kampuni ambayo ilishinda mnada huo wakulima walimuomba Mh. Makamu mwenyekit wa tamcutunduru ili amnyanyue Afisa Ushirika wilaya Ndg George N.Bisani kwa lengo atoe mchanganuo wa kiasi hicho cha fedha cha bei ya Tshs 580.00 Afisa Ushirika wilaya alitoa mchanganuo huo kama alivyo agizwa na makamu mwenyekiti uku akifuata muongozo wa viwango wa vyama vya ushirika unavyo hitajika.

Matangazo

  • Matokeo ya kidato cha Nne, QT, Kidato cha Pili, na Darasa la Nne January 17, 2021
  • WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA KWANZA 2021 HALMASHAURI YA WILAYA YA TUNDURU December 19, 2020
  • FORM ZA KUJIUNGA NA SHULE MWAKA 2021/ SCHOOL JOINING INSTRUCTIONS December 16, 2020
  • Tangazo la Mnada wa Ng'ombe May 23, 2018
  • Ona Zote

Habari Mpya

  • MH. WAZIRI MKUU AKIWA ZIARA WILAYANI TUNDURU

    January 05, 2021
  • DC MTATIRO AZIJIA JUU TAASISI ZA MIKOPO

    December 07, 2020
  • DC MTATIRO AKIWA ZIARA YA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI KATA YA CHIWANA NA MBESA

    September 27, 2020
  • KAIMU MKURUGENZI TUNDURU DC MWL ANDERSON MWALONGO AMEWAPONGEZA TAMCUTUNDURU

    September 17, 2020
  • Ona Zote

Video

Makumbusho ya wapigania Uhuru Masonya kufanyiwa maboresho
Video Nyingine

viunganishi vya Haraka

  • MATOKEO YA MITIHANI
  • Mkataba wa huduma kwa Mteja
  • muongozo wa Tehama
  • Ijue Sheria ya Umiliki wa Ardhi ya Mwaka 1999
  • Taarifa ya Ukimwi kuishia decemba 2017
  • Kanuni za Kudumu za Halmashauri ya Tunduru

Tovuti linganifu

  • Tovuti Kuu ya Rais - IKULU
  • Ofisi ya Rais - UTUMISHI
  • Ofisi ya Rais - TAMISEMI
  • Idara Kuu ya Takwimu
  • Tovuti Kuu ya Serikali
  • Idara ya Habari Maelezo

wasomaji mbalimbali Duniani

world map hits counter

Idadi ya wasomaji

free HitCounter

Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya Tunduru

    Anuani ya Posta: 275, TUNDURU

    Simu: + 255-025-2680004

    Simu ya Nununu:

    Barua Pepe: info@tundurudc.go.tz

Anuani nyingine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Kituo

Hakimiliki©2019 Halmashauri ya Wilaya Tunduru.Haki zote zimehifadhiwa.